Saturday, November 23, 2019

USISINGIZIE MTAJI TENA , KAMA HUJAINGIA KWENYE BIASHARA TATIZO SIYO MTAJI , BALI TATIZO NI WEWE.

Andrew Carnegie ambaye alikuwa mtu tajiri kuliko wote duniani enzi za uhai wake, aliwahi kuandika kitabu alichokiita GOSPEL OF WEALTH, kwa tafsiri rahisi ni INJILI YA UTAJIRI.

Katika injili yake hiyo, alieleza ni jinsi gani utajiri ni mzuri na njia pekee ya mtu kuisaidia jamii ni kuwa tajiri. Lakini pia alionesha ni jinsi gani ilivyo rahisi kufikia utajiri kama umeanzia kwenye umasikini kuliko kutokea kwenye utajiri.

Kikubwa zaidi ambacho Carnegie ametueleza kupitia kitabu chake hicho ni njia ya uhakika ya kuelekea kwenye utajiri ni kufanya biashara. Anasema ajira ni sehemu ya kuanzia, sehemu ya kujifunza na sehemu ya kutengeneza mtandao. Lakini utajiri mkubwa haupatikani kwenye ajira, bali kwenye biashara.

Andrew aliamini kama mtu angeweza kuanzisha na kuendesha vizuri biashara yake, angeweza kufanikiwa sana. Na yeye mwenyewe hiyo ndiyo njia aliyopita, alianza kama kibarua kwenye kampuni ya reli, na baadaye kuweza kuanzisha kampuni yake ya kufua vyuma ambayo ilimfikisha kwenye mafanikio makubwa.

Saturday, October 26, 2019

KUWA MWAMINIFU KUTOKA MOYONI / VIONE VITU KAMA VILIVYO------NA DR. KAZUO INAMORI

ZINGATIA UNDANI WA JAMBO / TEGEMEA AKILI YAKO YA NDANI ------NA DR. KAZUO INAMORI

TABIA 10 ZA MSHAHARA ZINAZOKUFANYA UENDELEE KUWA MASKINI

1. Mshahara haujawahi kutosha.

2. Ongezeko la mshahara huwa haliendani na ukuaji wa gharama za maisha.

3. Mshahara huwa unaleta uteja, unapozoea kupokea kila mwezi unakuwa kama mlevi.

4. Mishahara huwa haikutani.

5. Mshahara hutengeneza tabia ya ukopaji sugu ambayo inakuwa mzigo zaidi.

6. Mshahara ni rushwa unayopewa ili usiishi ndoto zako.

7. Mwajiri anakulipa kiasi kidogo kiasi kwamba hutaacha kazi.

8. Mshahara unatengeneza wategemezi wengi, unapokuwa na mshahara kila mtu anajua lini umeupata.

9. Huwezi kutajirika kwa mshahara, bali utatajirika kwa kile unachofanya na mshahara huo.

10. Watu wengine ndiyo wanaoamua kiasi gani cha mshahara ulipwe.

Monday, September 23, 2019

UWEZO WA KUJUA KAMA TUTAKUFA MASKINI TUNAO ----------Na MUNGA TEHENAN

Profit First: A Simple System To Transform Any Business From A Cash-Eating Monster To A Money-Making Machine

MSHAHARA NI MADAWA YA KULEVYA , JIFUNZE JINSI YA KUEPUKA MADHARA YAKE.


Nassim Taleb anatuambia kuna vitu vitatu vyenye uraibu mbaya, madawa ya kulevya(unga), vyakula vya wanga (sukari) na mshahara wa kila mwezi. 

Ukishauzoea mshahara, ni vigumu sana kuweza kufanya kitu kikubwa kwenye maisha yako. Kwa sababu maisha yako yanakuwa ya mipango ya mwisho wa mwezi tu. Kwamba mwisho wa mwezi huu nitafanya hiki au kile.
Mshahara ukitoka unakuwa na mipangilio mingi kuliko kiwango chake, hivyo ndani ya siku mbili unakuwa umeisha. Na hapo unafanya nini? Unajua vyema, unaanza kukopa kwa sababu unajua mshahara ujao utalipa. Na hapo ndipo uraibu unapojenga mizizi.
Kuondokana na uraibu huu wa mshahara, lazima uanze kujijengea msingi wa kipato nje ya mshahara. 

JIUNGE   NA   DARASA  LA  SEMINA  LA  MAFUNZO ONLINE  KILA   SIKU   NA  UCHUKUE HATUA , MAISHA   NA  WEWE !  FURSA  ZA  BIASHARA  AFRIKA  MASHARIKI ,


Kwa  maelekezo   zaidi  Tuwasiliane  kwa  Call / Message /  ( WhatsApp + 255716924136 )/   + 255 755 400128  /   +255 688 361 539

Friday, September 13, 2019

SHERIA 10 ZA BIASHARA ZA KUFUATA ILI UFANIKIWE SANA , UKIZIVUNJA SHERIA HIZI HUTAFANIKIWA --------------------" Fursa Afrika Mshariki Blog "

UTAMADUNI NDIYO UNAOENDESHA BIASHARA.

Kila biashara ina utamaduni wake, na baada ya muda utamaduni huo ndiyo unaendesha biashara hiyo. Jinsi wateja wanavyohudumiwa, jinsi watu wanavyotekeleza majukumu yao inatokana na utamaduni uliojengeka kwenye biashara hiyo.

Ni wajibu wako kama mmiliki wa biashara kutengeneza utamaduni mzuri kwenye biashara yako, utamaduni ambao utaiwezesha biashara hiyo kukua zaidi.

Utamaduni wa biashara unahusisha mahusiano baina ya watu kwenye biashara, jinsi ambavyo watu wanatekeleza majukumu yao, vipaumbele ambavyo watu wanakuwa navyo, huduma ambazo wateja wanazipata na kadhalika.

Haya yote unayatengeneza wewe mmiliki wa biashara na kufuatilia kwa makini, kuondoa yale yasiyo mazuri na kuweka yale ambayo ni mazuri.

MIPANGO YA MAISHA INAPASWA KUJA KABLA YA MIPANGO YA BIASHARA.

Ni rahisi sana kuweka malengo na mipango mikubwa ya kibiashara, lakini unapokaa na kujiuliza kwa nini unataka kufikia malengo hayo makubwa unakosa jibu la uhakika.
Watu wengi wamekuwa wanapotea kwenye biashara kwa sababu wanaweka malengo ya biashara kabla hawajaweka malengo ya maisha. Wanataka kuwa mabilionea kupitia biashara zao, na hilo linawataka kuweka maisha yao yote kwenye biashara na kusahau vitu vingine vyote. Wanaweza kufikia lengo hilo, lakini maeneo mengine ya maisha yao kama afya na mahusiano yanakuwa yameathirika sana.
Kabla hujaweka lengo kubwa la biashara, anza kwanza na lengo kuu la maisha yako. Jua unataka kuwa na maisha ya aina gani, jua maisha ya mafanikio kwa upande wako yana maana gani.
Ukishajua kwamba unataka nini kwenye maisha yako, hapo sasa unaweza kuitumia biashara yako kuwa na maisha unayoyataka wewe. Lakini ukianza kufikiria unachotaka kwenye biashara pekee, utaishia kuwa na maisha mabovu sana.

FURSA YA BIASHARA YA KUFUNGUA MAKAMBI --------------------------- "Fursa Afrika Mashariki Blog "

Saturday, September 7, 2019

MAZUNGUMZO NA DR. KAZUO INAMORI KUHUSU KANUNI YA USHINDI---MAFANIKIO -------------Fursa Afrika Mashariki Blog "

FURSA 11 ZA BIASHARA ZA KUPIGA PESA KIPINDI CHA FIESTA ( FESTIVAL )----------------" Fursa Afrika Mashariki Blog "

PIGA HATUA MOJA KWA WAKATI--- ISHI KWA MUJIBU YA MAFANIKIO------NA DR. KAZUO INAMORI

TAFUTA SHABAHA YA MAISHA / JIONE KAMA ULIVYO---------NA DR. KAZUO INAMORI

HESHIMU KILA MTU UNAYEKUTANA NAYE , UTAZIPATA FURSA NZURI ZAIDI KILA SIKU ------NA KOCHA MWL. JAPHET MASATU

MAMBO 07 MUHIMU YANAYOHITAJIKA ILI KUKAMILISHA MZUNGUKO WA TENDO LA UBUNIFU---------------- " Fursa Afrika Msharik Blog "

Monday, September 2, 2019

HATUA 05 ZA KUCHUKUA ILI KUTOKA KWENYE AJIRA MPAKA KUJIAJIRI ----------------" Fursa Afrika Mashariki Blog "

MAMBO 20 YA KUYAFANYIA KAZI ILI KUTOKA KWENYE AJIRA NA MADENI NA KWENDA KUJIAJIRI NA KUWA NA UHURU WA KIFEDHA ------------------ " Fursa Afrika Mashariki Blog "

HAPO ULIPO SASA , KUNA FURSA NYINGI SANA ZINAZOKUZUNGUKA --------------- " Fursa Afrika Mashariki Blog "

Swali ambalo wengi wamekuwa wanajiuliza na kukwama ni wafanye biashara gani au kitu gani cha pembeni ya ajira zao. Ukweli ni kwamba kila mtu anajua ni nini anataka kufanya, sema tu wengi hawapo tayari kuukabili ukweli huo. Kuna mawazo ambayo huwa yanajirudia rudia sana kwenye akili yako, mawazo ya kitu gani sahihi na cha muhimu kwako kufanya. Hayo ndiyo mawazo unayopaswa kuyafanyia kazi, hata kama utaanza kwa hatua ndogo sana. Hapo ulipo sasa kuna fursa nyingi zinazokuzunguka za kuyawezesha maisha yako kuwa bora zaidi. Zitumie sasa na acha kujichelewesha.

KWA WANACHUO , UNAPOKUWA CHUONI , NI WAKATI WA KUTENGENEZA BIASHARA UNAYOPENDA KUFANYA------ " Fursa Afrika Mashariki Blog "

Vijana wengi kwa sasa wanayaanza maisha yao wakiwa na deni kubwa la elimu ya juu, huku wakiwa hawana uhakika wa kupata ajira. Kama vijana hawa wangeshauriwa vizuri, muda ambao wameutumia chuoni kusoma kitu ambacho hakina uhakika wa ajira, na kuweka muda huo kwenye kutengeneza biashara inayotokana na kitu wanachopenda kufanya, wakati ambao wenzao wanamaliza chuo wakiwa na madeni, wao wanakuwa wameshafika mbali sana kibiashara na hawana deni kabisa.

UNAPOJIAJIRI , UNAPASWA KUFIKIRI TOFAUTI NA WALE WALIOAJIRIWA ------------ " Fursa Afrika Mashariki Blog "

Unapojiajiri, unapaswa kufikiri tofauti kabisa na wale walioajiriwa. Kwa sababu kuna vitu ambavyo watu walioajiriwa hawajisumbui navyo sana, kwa sababu wameahidiwa vinafanyiwa kazi, mfano bima ya afya, mafao ya uzeeni na mengineyo. Unapoachana na ajira na kuamua kujiajiri moja kwa moja, mambo hayo utapaswa kuyahangaikia mwenyewe, lazima utafute bima yako na familia yako na pia lazima uwekeze ili kujiandaa kwa siku zijazo. Kwa sababu hakuna anayekuandalia mafao, unapaswa kutengeneza uwekezaji wako mwenyewe, ambao miaka mingi ijayo utaweza kukuingizia wewe kipato hata kama hufanyi kazi moja kwa moja.

Saturday, August 10, 2019

HATUA 08 ZA KUJENGA BIASHARA YENYE MAFANIKIO MAKUBWA --------------- " Fursa Afrika Mshariki Blog "

TRACTIION---GET A GRIP ON YOUR BUSINESS---BY GINO WICKMAN

Traction_FrontCover

HIGH PERFORMANCE HABITS---How Extraordinary People Become That Way ------By BRENDON BURCHAD

FURSA 16 ZA BIASHARA KATIKA SEKTA YA ULINZI NA USALAMA ----------------------" Fursa Afrika Mashariki Blog "

SEKTA  YA  ULINZI  ni  nyeti   sana  kulingana  na  umuhimu  wake  wa  kuleta   usalama  na   maeneo  mbalimbali. Kukithiri  kwa   vitendo   vya   ugaidi , ujambazi , wizi  na   unyang"anyi   umepelekea  serikali , watu, mashirika  na  makampuni  mengi  kubuni   mbinu  kadha  wa   kadha  katika  kuimarisha   ulinzi. Kujua fursa  unazoweza  kufanya  kwenye   sekta  hii  ya    ulinzi , tafadhali  endelea  kusoma  zaidi.Ili  kufahamu   baadhi  ya   FURSA  zilizopo   kwenye  sekta  hii   unazoweza  kuwekeza , tafadhali ,  endelea  kusoma na kufuatana  nami katika  DARASA   LA  SEMINA--ONLINE.
( DARASA   LA  GOOGLE )


MUHIMU : Ili   kuendelea  Kusoma  na  Kujifunza  Zaidi na  Kugundua  FURSA  mbalimbali  zilizojificha  na  unazoweza  kufanya  katika  SEKTA  YA  ULINZI  NA  USALAMA"

JIUNGE   na   "FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG "  kwa  pamoja  na    " DARASA  LA  SEMINA--ONLINE--FURSA  ZA   BIASHARA  AFRIKA  MASHARIKI " ( Google  Classrom )   kwa  kulipa  ADA  YA  UANACHAMA ( Tshs 10,000  kwa  Mwezi ) ili   uweze kusoma  MAKALA mbalimbali za  FURSA  na   Kuzigundua na  kujifunza " FURSA  ZINAZOKUZUNGUKA " na  Kuzifanyia  Kazi na  KUFANIKIWA  na   hatimaye  kupata  UTAJIRI.

Utaziona  MAKALA  lakini  hutaweza  kuzifungua  mpaka  uwe  umejiunga  na  kuwa  mwanachama . UTAJIFUNZA  MENGI  SANA kupitia  DARASA  LA  SEMINA---ONLINE.

Kujiunga  tuma   fedha  Tshs  10,000   kwa


  MPESA  NAMBA  0755400128   (  Majina  JAPHET  CHIBAJILO )
        TIGO   PESA   NAMBA   0716924136 ( Majina   Japhet   Masatu )
        AIRTEL  MONEY   0688 361 539  ( Majina  Japhet   Masatu )

(1).Ukishatuma  ADA  tuma kwa  meseji   E-MAIL  yako. Baada  ya  hapo  tutatumia  E--MAIL  yako  hiyo  kukuunganisha  na   Darasa. Utajifunza  mengi  usiyoyajua.

(2).Utapokea   MASOMO  kwa  njia  ya  E-MAIL ambapo  ni  njia  nzuri  zaidi  ya  kuyatunza  siku  zote  pasipo  kupotea  au  kuharibika.
 


Ndimi  Rafiki na  Kocha  Wako  Mwl    Japhet  Masatu , Dar  es  salaam ,Tanzania , Afrika   Mashariki , 

Kama  bado    hujajiunga  na  "  FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG " na  "DARASA  LA  SEMINA---FURSA  ZA  BIASHARA  AFRIKA  MASHARIKI " ( Google  Classroom )  tuwasiliane   Kwa  Maelekezo  Zaidi


WhatsApp /  Call / Message + 255 716 924136 / + 255 755 400128 / + 255 688361539


Mwl   Japhet   Masatu  ni   Mwalimu  Kitaaluma , Kocha  wa Maisha  na   Mafanikio ,  Mshauri ,  Mjasiriamali.

Mwl   Japhet   Masatu  anaendesha  Mafunzo  Ya  Maisha  na  Mafanikio  kwa   Wale  Waliojitoa  hasa  Kufanikiwa  Kupitia  Programu  ya  "  MAISHA  NA  WEWE "  na  "  FURSA   ZA   BIASHARA   AFRIKA   MASHARIKI "

ULIZA  MASWALI , TOA  MAONI , USHAURI , MAPENDEKEZO, MASULUHISHO  kwa  Email  hii:-  EMAIL fursaafrikamashariki@gmail.com

FURSA 24 ZA BIASHARA KATIKA SEKTA YA UREMBO NA MITINDO ----------------" Fursa Afrika Mashariki Blog "

Swala  la  urembo   ni  swala  mtambuka  sana. Urembo   unajumuisha   vitu   kama   vile  mavazi , nywele , muonekano  wa   ngozi , sabuni , mafuta , mapambo  na  vipodozi. Kama  upo  kwenye  sekta  hii  au   unataka  kuanzisha   FURSA  yoyote   inayohusika   na   mambo  ya  urembo , basi  karibu  usome  baadhi   ya  FURSA  nyeti  zinazopatikana  hapa.Ili  kufahamu   baadhi  ya   FURSA  zilizopo   kwenye  sekta  hii   unazoweza  kuwekeza , tafadhali ,  endelea  kusoma na kufuatana  nami katika  DARASA   LA  SEMINA--ONLINE.
( DARASA   LA  GOOGLE )


MUHIMU : Ili   kuendelea  Kusoma  na  Kujifunza  Zaidi na  Kugundua  FURSA  mbalimbali  zilizojificha  na  unazoweza  kufanya  katika  SEKTA  YA  UREMBO   NA  MITINDO"

JIUNGE   na   "FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG "  kwa  pamoja  na    " DARASA  LA  SEMINA--FURSA  ZA   BIASHARA  AFRIKA  MASHARIKI " ( Google  Classrom )   kwa  kulipa  ADA  YA  UANACHAMA ( Tshs 10,000  kwa  Mwezi ) ili   uweze kusoma  MAKALA mbalimbali za  FURSA  na   Kuzigundua na  kujifunza " FURSA  ZINAZOKUZUNGUKA " na  Kuzifanyia  Kazi na  KUFANIKIWA  na   hatimaye  kupata  UTAJIRI.

Utaziona  MAKALA  lakini  hutaweza  kuzifungua  mpaka  uwe  umejiunga  na  kuwa  mwanachama . UTAJIFUNZA  MENGI  SANA kupitia  DARASA  LA  SEMINA.

Kujiunga  tuma   fedha  Tshs  10,000   kwa


  MPESA  NAMBA  0755400128   (  Majina  JAPHET  CHIBAJILO )
        TIGO   PESA   NAMBA   0716924136 ( Majina   Japhet   Masatu )
        AIRTEL  MONEY   0688 361 539  ( Majina  Japhet   Masatu )

(1).Ukishatuma  ADA  tuma kwa  meseji   E-MAIL  yako. Baada  ya  hapo  tutatumia  E--MAIL  yako  hiyo  kukuunganisha  na   Darasa. Utajifunza  mengi  usiyoyajua.

(2).Utapokea   MASOMO  kwa  njia  ya  E-MAIL ambapo  ni  njia  nzuri  zaidi  ya  kuyatunza  siku  zote  pasipo  kupotea  au  kuharibika.
 


Ndimi  Rafiki na  Kocha  Wako  Mwl    Japhet  Masatu , Dar  es  salaam ,Tanzania , Afrika   Mashariki , 

Kama  bado    hujajiunga  na  "  FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG " na  "DARASA  LA  SEMINA---FURSA  ZA  BIASHARA  AFRIKA  MASHARIKI " ( Google  Classroom )  tuwasiliane   Kwa  Maelekezo  Zaidi


WhatsApp /  Call / Message + 255 716 924136 / + 255 755 400128 / + 255 688361539


Mwl   Japhet   Masatu  ni   Mwalimu  Kitaaluma , Kocha  wa Maisha  na   Mafanikio ,  Mshauri ,  Mjasiriamali.

Mwl   Japhet   Masatu  anaendesha  Mafunzo  Ya  Maisha  na  Mafanikio  kwa   Wale  Waliojitoa  hasa  Kufanikiwa  Kupitia  Programu  ya  "  MAISHA  NA  WEWE "  na  "  FURSA   ZA   BIASHARA   AFRIKA   MASHARIKI "

ULIZA  MASWALI , TOA  MAONI , USHAURI , MAPENDEKEZO, MASULUHISHO  kwa  Email  hii:-  EMAIL fursaafrikamashariki@gmail.com

Friday, August 9, 2019

HOW TO WRITE COPY THAT SELLS , The Step--By---Step System For More Sales ,to More Customers , More Often---BY RAY EDWARDS

BOBEA KATIKA KUUZA , KUONGEA NA KUANDIKA ILI KUWEZA KUWA NA USHAWISHI NA WATU WANUNUE UNACHOUZA---------------------- " Fursa Afrika Mashariki Blog "

FURSA 14 ZA BIASHARA KATIKA SEKTA YA UAGIZAJI NA USAFIRISHAJI WA BIDHAA----------" Fursa Afrika Mashariki Blog "

Katika   zama  hizi  za   SAYANSI, TEKNOLOJIA  na  MAWASILIANO  kuna   matarajio makubwa  sana kukuwa kwa  biashara kati  ya  taifa na  taifa , kanda  na  kanda , bara  na  bara  katika  maswala  mazima  ya  uchumi. Ukuaji  huu  wa  biashara unafungua  milango  mipana   ya  FURSA  zisizoisha ( UNLIMITED  OPPORTUNITIES )  kwa   WAJASIRIAMALI. Watu  hapa  duniani wametengeneza  mabilioni  ya  PESA  kwenye  sekta  hii.Ajabu  ni  kwamba, kwenye  nchi zinazoendelea  FURSA  hii  haijaeleweka  sana. Watu  wengi  wanahangaika  kila  kukicha  kutangaza  bidhaa  na  wengine  wanaishia  kutapeliwa  na  mwishowe  kuachana  na  biashara  hii. Je , umewahi  kuwaza  kufanya  hii   biashara ?? Je , unahitaji  elimu  juu  ya FURSA  hii  ya  kuagiza   bidhaa  au  kusafirisha  bidhaa  kwenye  nchi  mbalimbali  huku  ukitalii  na  kula   maisha ? Kama  jibu  ni  NDIO , basi  ongozana  mimi tupitie  baadhi  ya  FURSA nyeti  zilizopo  kwenye  uwanja   huu   wa  NOTI. Ili  kufahamu   baadhi  ya   FURSA  zilizopo   kwenye  sekta  hii   unazoweza  kuwekeza , tafadhali ,  endelea  kusoma na kufuatana  nami katika  DARASA   LA  SEMINA--ONLINE.
( DARASA   LA  GOOGLE )


MUHIMU : Ili   kuendelea  Kusoma  na  Kujifunza  Zaidi na  Kugundua  FURSA  mbalimbali  zilizojificha  na  unazoweza  kufanya  katika  SEKTA  YA  UAGIZAJI  NA  USAFIRISHAJI  WA  BIDHAA"

JIUNGE   na   "FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG "  kwa  pamoja  na    " DARASA  LA  SEMINA--FURSA  ZA   BIASHARA  AFRIKA  MASHARIKI " ( Google  Classrom )   kwa  kulipa  ADA  YA  UANACHAMA ( Tshs 10,000  kwa  Mwezi ) ili   uweze kusoma  MAKALA mbalimbali za  FURSA  na   Kuzigundua na  kujifunza " FURSA  ZINAZOKUZUNGUKA " na  Kuzifanyia  Kazi na  KUFANIKIWA  na   hatimaye  kupata  UTAJIRI.

Utaziona  MAKALA  lakini  hutaweza  kuzifungua  mpaka  uwe  umejiunga  na  kuwa  mwanachama . UTAJIFUNZA  MENGI  SANA kupitia  DARASA  LA  SEMINA.

Kujiunga  tuma   fedha  Tshs  10,000   kwa


  MPESA  NAMBA  0755400128   (  Majina  JAPHET  CHIBAJILO )
        TIGO   PESA   NAMBA   0716924136 ( Majina   Japhet   Masatu )
        AIRTEL  MONEY   0688 361 539  ( Majina  Japhet   Masatu )

(1).Ukishatuma  ADA  tuma kwa  meseji   E-MAIL  yako. Baada  ya  hapo  tutatumia  E--MAIL  yako  hiyo  kukuunganisha  na   Darasa. Utajifunza  mengi  usiyoyajua.

(2).Utapokea   MASOMO  kwa  njia  ya  E-MAIL ambapo  ni  njia  nzuri  zaidi  ya  kuyatunza  siku  zote  pasipo  kupotea  au  kuharibika.
 


Ndimi  Rafiki na  Kocha  Wako  Mwl    Japhet  Masatu , Dar  es  salaam ,Tanzania , Afrika   Mashariki , 

Kama  bado    hujajiunga  na  "  FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG " na  "DARASA  LA  SEMINA---FURSA  ZA  BIASHARA  AFRIKA  MASHARIKI " ( Google  Classroom )  tuwasiliane   Kwa  Maelekezo  Zaidi


WhatsApp /  Call / Message + 255 716 924136 / + 255 755 400128 / + 255 688361539


Mwl   Japhet   Masatu  ni   Mwalimu  Kitaaluma , Kocha  wa Maisha  na   Mafanikio ,  Mshauri ,  Mjasiriamali.

Mwl   Japhet   Masatu  anaendesha  Mafunzo  Ya  Maisha  na  Mafanikio  kwa   Wale  Waliojitoa  hasa  Kufanikiwa  Kupitia  Programu  ya  "  MAISHA  NA  WEWE "  na  "  FURSA   ZA   BIASHARA   AFRIKA   MASHARIKI "

ULIZA  MASWALI , TOA  MAONI , USHAURI , MAPENDEKEZO, MASULUHISHO  kwa  Email  hii:-  EMAIL fursaafrikamashariki@gmail.com

FURSA 13 ZA BIASHARA KATIKA SEKTA YA USINDIK"JI WA VYAKULA-------------- " Fursa Afrika Mashariki Blog "

Biashara  ya   Vyakula  ni  biashara  isiyoishiwa  soko   na  ina  uwanja  mpana  sana. Uzalishaji  na  Usindikaji  wa   Vyakula  ni  FURSA  inayolipa  sana.Kuna  wakulima  wengi  sana  asilimia  75%  ya   watanzania  ni  wakulima.Sio  TANZANIA  tu , lakini  hata   nchi  nyingine  zinazoendelea  hutegemea  KILIMO  kama  uti  wa  mgongo  wa  uchumi  wao. Wakulima  wengi  wanazalisha  mazao  na  kuyauza  kwa  kiwango  kikubwa  kipindi  cha  mavuno. Wanafanya  hivyo  kwa  kukosa  mbinu  ya  kuweza  kusindika  mazao  hayo  ili  yaje  yatumike   kipindi  cha  kiangazi. Ukiwa  MJASIRIAMALI  mjanja   kipindi hiki   ndicho cha  kuanza  kusindika  mazao  mengi  uwezavyo , ili  kipindi  cha  kiangazi  kikifika  uweze  kuishi  kama mfalme.  .Kuna   fursa   nyingi  sana  kwenye   "SEKTA  YA  USINDIKAJI  WA   VYAKULA" . Ili  kufahamu   baadhi  ya   FURSA  zilizopo   kwenye  sekta  hii   unazoweza  kuwekeza , tafadhali ,  endelea  kusoma na kufutana  nami katika  DARASA   LA  SEMINA--ONLINE.
( DARASA   LA  GOOGLE )


MUHIMU : Ili   kuendelea  Kusoma  na  Kujifunza  Zaidi na  Kugundua  FURSA  mbalimbali  zilizojificha  na  unazoweza  kufanya  katika  SEKTA  YA  USINDIKAJI  WA   VYAKULA"

JIUNGE   na   "FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG "  kwa  pamoja  na    " DARASA  LA  SEMINA--FURSA  ZA   BIASHARA  AFRIKA  MASHARIKI " ( Google  Classrom )   kwa  kulipa  ADA  YA  UANACHAMA ( Tshs 10,000  kwa  Mwezi ) ili   uweze kusoma  MAKALA mbalimbali za  FURSA  na   Kuzigundua na  kujifunza " FURSA  ZINAZOKUZUNGUKA " na  Kuzifanyia  Kazi na  KUFANIKIWA  na   hatimaye  kupata  UTAJIRI.

Utaziona  MAKALA  lakini  hutaweza  kuzifungua  mpaka  uwe  umejiunga  na  kuwa  mwanachama . UTAJIFUNZA  MENGI  SANA kupitia  DARASA  LA  SEMINA.

Kujiunga  tuma   fedha  Tshs  10,000   kwa


  MPESA  NAMBA  0755400128   (  Majina  JAPHET  CHIBAJILO )
        TIGO   PESA   NAMBA   0716924136 ( Majina   Japhet   Masatu )
        AIRTEL  MONEY   0688 361 539  ( Majina  Japhet   Masatu )

(1).Ukishatuma  ADA  tuma kwa  meseji   E-MAIL  yako. Baada  ya  hapo  tutatumia  E--MAIL  yako  hiyo  kukuunganisha  na   Darasa. Utajifunza  mengi  usiyoyajua.

(2).Utapokea   MASOMO  kwa  njia  ya  E-MAIL ambapo  ni  njia  nzuri  zaidi  ya  kuyatunza  siku  zote  pasipo  kupotea  au  kuharibika.
 


Ndimi  Rafiki na  Kocha  Wako  Mwl    Japhet  Masatu , Dar  es  salaam ,Tanzania , Afrika   Mashariki , 

Kama  bado    hujajiunga  na  "  FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG " na  "DARASA  LA  SEMINA---FURSA  ZA  BIASHARA  AFRIKA  MASHARIKI " ( Google  Classroom )  tuwasiliane   Kwa  Maelekezo  Zaidi


WhatsApp /  Call / Message + 255 716 924136 / + 255 755 400128 / + 255 688361539


Mwl   Japhet   Masatu  ni   Mwalimu  Kitaaluma , Kocha  wa Maisha  na   Mafanikio ,  Mshauri ,  Mjasiriamali.

Mwl   Japhet   Masatu  anaendesha  Mafunzo  Ya  Maisha  na  Mafanikio  kwa   Wale  Waliojitoa  hasa  Kufanikiwa  Kupitia  Programu  ya  "  MAISHA  NA  WEWE "  na  "  FURSA   ZA   BIASHARA   AFRIKA   MASHARIKI "

ULIZA  MASWALI , TOA  MAONI , USHAURI , MAPENDEKEZO, MASULUHISHO  kwa  Email  hii:-  EMAIL fursaafrikamashariki@gmail.com

Wednesday, August 7, 2019

FURSA 35 ZA BIASHARA ZA UTUNZAJI WA MAZINGIRA-----------" Fursa Afrika Mashariki Blog "

Shughuli  nyingi  za  wanadamu  zimekuwa  sio  rafiki  kwa  mazingira. Ukiangalia  kuanzia  shughuli  za  kilimo, viwanda, michezo  na  ufugaji  utagundua  kuwa   wanadamu  wanahusika  sana  katika  kuharibu  mazingira.Serikali  na  mashirika  mbalimbali  yamekuwa   yakipiga  kelele  juu   ya   utunzaji  wa  mazingira. Ipo  misemo  mingi  ya  kuhamasisha  watu  kutunza  mazingira , Mfano ,  "  Kata  mti panda  mti "  ,  " tunza  mazingira  yakutunze "  na  mingine  mingi . Uharibifu  huu  kwetu  sisi  WAJISIRIAMALI   ni  fursa  nzuri  nzuri  ya  kutengeneza  PESA.Kuna   fursa   nyingi  sana  kwenye   "SEKTA  YA  UTUNZAJI  WA  MAZINGIRA" . Ili  kufahamu   "SEKTA  YA  UTUNZAJI  WA  MAZINGIRA"  ina   FURSA   zipi mbalimbali   unazoweza  kuwekeza , tafadhali ,  endelea  kusoma na kufutana  nami katika  DARASA   LA  SEMINA--ONLINE.
( DARASA   LA  GOOGLE )


MUHIMU : Ili   kuendelea  Kusoma  na  Kujifunza  Zaidi na  Kugundua  FURSA  mbalimbali  zilizojificha  na  unazoweza  kufanya  katika  SEKTA  YA  UTUNZAJI  WA  MAZINGIRA"

JIUNGE   na   "FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG "  kwa  pamoja  na    " DARASA  LA  SEMINA--FURSA  ZA   BIASHARA  AFRIKA  MASHARIKI " ( Google  Classrom )   kwa  kulipa  ADA  YA  UANACHAMA ( Tshs 10,000  kwa  Mwezi ) ili   uweze kusoma  MAKALA mbalimbali za  FURSA  na   Kuzigundua na  kujifunza " FURSA  ZINAZOKUZUNGUKA " na  Kuzifanyia  Kazi na  KUFANIKIWA  na   hatimaye  kupata  UTAJIRI.

Utaziona  MAKALA  lakini  hutaweza  kuzifungua  mpaka  uwe  umejiunga  na  kuwa  mwanachama . UTAJIFUNZA  MENGI  SANA kupitia  DARASA  LA  SEMINA.

Kujiunga  tuma   fedha  Tshs  10,000   kwa


  MPESA  NAMBA  0755400128   (  Majina  JAPHET  CHIBAJILO )
        TIGO   PESA   NAMBA   0716924136 ( Majina   Japhet   Masatu )
        AIRTEL  MONEY   0688 361 539  ( Majina  Japhet   Masatu )

(1).Ukishatuma  ADA  tuma kwa  meseji   E-MAIL  yako. Baada  ya  hapo  tutatumia  E--MAIL  yako  hiyo  kukuunganisha  na   Darasa. Utajifunza  mengi  usiyoyajua.

(2).Utapokea   MASOMO  kwa  njia  ya  E-MAIL ambapo  ni  njia  nzuri  zaidi  ya  kuyatunza  siku  zote  pasipo  kupotea  au  kuharibika.
 


Ndimi  Rafiki na  Kocha  Wako  Mwl    Japhet  Masatu , Dar  es  salaam ,Tanzania , Afrika   Mashariki , 

Kama  bado    hujajiunga  na  "  FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG " na  "DARASA  LA  SEMINA---FURSA  ZA  BIASHARA  AFRIKA  MASHARIKI " ( Google  Classroom )  tuwasiliane   Kwa  Maelekezo  Zaidi


WhatsApp /  Call / Message + 255 716 924136 / + 255 755 400128 / + 255 688361539


Mwl   Japhet   Masatu  ni   Mwalimu  Kitaaluma , Kocha  wa Maisha  na   Mafanikio ,  Mshauri ,  Mjasiriamali.

Mwl   Japhet   Masatu  anaendesha  Mafunzo  Ya  Maisha  na  Mafanikio  kwa   Wale  Waliojitoa  hasa  Kufanikiwa  Kupitia  Programu  ya  "  MAISHA  NA  WEWE "  na  "  FURSA   ZA   BIASHARA   AFRIKA   MASHARIKI "

ULIZA  MASWALI , TOA  MAONI , USHAURI , MAPENDEKEZO, MASULUHISHO  kwa  Email  hii:-  EMAIL fursaafrikamashariki@gmail.com

FURSA 40 ZA BIASHARA KATIKA SEKTA YA VIWANDA NA UZALISHAJI ----------------- " Fursa Afrika Mashariki Blog "

Je , unahitaji  kuwa  mwekezaji  kwenye  viwanda  na  unahitaji  ELIMU  YA  VIWANDANI. Fursa  ya viwanda ni  biashra  nyeti  sana   katika  maisha  ya  kila  siku kwa  sababu  mtu  anazalisha bidhaa  ambazo  zinatumika  kila  siku. Kuna   fursa   nyingi  sana  kwenye   "SEKTA  YA  VIWANDA  NA  UZALISHAJI" . Ili  kufahamu   "SEKTA  YA  VIWANDA   NA  UZALISHAJI "  ina   FURSA   zipi mbalimbali   unazoweza  kuwekeza , tafadhali ,  endelea  kusoma na kufutana  nami katika  DARASA   LA  SEMINA--ONLINE.
( DARASA   LA  GOOGLE )


MUHIMU : Ili   kuendelea  Kusoma  na  Kujifunza  Zaidi na  Kugundua  FURSA  mbalimbali  zilizojificha  na  unazoweza  kufanya  katika  SEKTA  YA   NISHATI    NA  MADINI"

JIUNGE   na   "FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG "  kwa  pamoja  na    " DARASA  LA  SEMINA--FURSA  ZA   BIASHARA  AFRIKA  MASHARIKI " ( Google  Classrom )   kwa  kulipa  ADA  YA  UANACHAMA ( Tshs 10,000  kwa  Mwezi ) ili   uweze kusoma  MAKALA mbalimbali za  FURSA  na   Kuzigundua na  kujifunza " FURSA  ZINAZOKUZUNGUKA " na  Kuzifanyia  Kazi na  KUFANIKIWA  na   hatimaye  kupata  UTAJIRI.

Utaziona  MAKALA  lakini  hutaweza  kuzifungua  mpaka  uwe  umejiunga  na  kuwa  mwanachama . UTAJIFUNZA  MENGI  SANA kupitia  DARASA  LA  SEMINA.

Kujiunga  tuma   fedha  Tshs  10,000   kwa


  MPESA  NAMBA  0755400128   (  Majina  JAPHET  CHIBAJILO )
        TIGO   PESA   NAMBA   0716924136 ( Majina   Japhet   Masatu )
        AIRTEL  MONEY   0688 361 539  ( Majina  Japhet   Masatu )

(1).Ukishatuma  ADA  tuma kwa  meseji   E-MAIL  yako. Baada  ya  hapo  tutatumia  E--MAIL  yako  hiyo  kukuunganisha  na   Darasa. Utajifunza  mengi  usiyoyajua.

(2).Utapokea   MASOMO  kwa  njia  ya  E-MAIL ambapo  ni  njia  nzuri  zaidi  ya  kuyatunza  siku  zote  pasipo  kupotea  au  kuharibika.
 


Ndimi  Rafiki na  Kocha  Wako  Mwl    Japhet  Masatu , Dar  es  salaam ,Tanzania , Afrika   Mashariki , 

Kama  bado    hujajiunga  na  "  FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG " na  "DARASA  LA  SEMINA---FURSA  ZA  BIASHARA  AFRIKA  MASHARIKI " ( Google  Classroom )  tuwasiliane   Kwa  Maelekezo  Zaidi


WhatsApp /  Call / Message + 255 716 924136 / + 255 755 400128 / + 255 688361539


Mwl   Japhet   Masatu  ni   Mwalimu  Kitaaluma , Kocha  wa Maisha  na   Mafanikio ,  Mshauri ,  Mjasiriamali.

Mwl   Japhet   Masatu  anaendesha  Mafunzo  Ya  Maisha  na  Mafanikio  kwa   Wale  Waliojitoa  hasa  Kufanikiwa  Kupitia  Programu  ya  "  MAISHA  NA  WEWE "  na  "  FURSA   ZA   BIASHARA   AFRIKA   MASHARIKI "

ULIZA  MASWALI , TOA  MAONI , USHAURI , MAPENDEKEZO, MASULUHISHO  kwa  Email  hii:-  EMAIL fursaafrikamashariki@gmail.com

FURSA 20 ZA BIASHARA KATIKA SEKTA YA VYAKULA ------------- " Fursa Afrika Mashariki Blog "

Mahitaji   ya  Chakula ni  muhimu kuliko  chochote  kile   ambacho  mwanadamu  anahitaji  kuweza   kuishi  mara  baada  ya  hewa. Hali  hii  hufanya  SEKTA  YA CHAKULA  kuwa  muhimu sana. Ili  kufahamu   SEKTA  YA  CHAKULA "  ina   FURSA   zipi mbalimbali   unazoweza  kuwekeza , tafadhali ,  endelea  kusoma na kufutana  nami katika  DARASA   LA  SEMINA--ONLINE.
( DARASA   LA  GOOGLE )


MUHIMU : Ili   kuendelea  Kusoma  na  Kujifunza  Zaidi na  Kugundua  FURSA  mbalimbali  zilizojificha  na  unazoweza  kufanya  katika  SEKTA  YA   NISHATI    NA  MADINI"

JIUNGE   na   "FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG "  kwa  pamoja  na    " DARASA  LA  SEMINA--FURSA  ZA   BIASHARA  AFRIKA  MASHARIKI " ( Google  Classrom )   kwa  kulipa  ADA  YA  UANACHAMA ( Tshs 10,000  kwa  Mwezi ) ili   uweze kusoma  MAKALA mbalimbali za  FURSA  na   Kuzigundua na  kujifunza " FURSA  ZINAZOKUZUNGUKA " na  Kuzifanyia  Kazi na  KUFANIKIWA  na   hatimaye  kupata  UTAJIRI.

Utaziona  MAKALA  lakini  hutaweza  kuzifungua  mpaka  uwe  umejiunga  na  kuwa  mwanachama . UTAJIFUNZA  MENGI  SANA kupitia  DARASA  LA  SEMINA.

Kujiunga  tuma   fedha  Tshs  10,000   kwa


  MPESA  NAMBA  0755400128   (  Majina  JAPHET  CHIBAJILO )
        TIGO   PESA   NAMBA   0716924136 ( Majina   Japhet   Masatu )
        AIRTEL  MONEY   0688 361 539  ( Majina  Japhet   Masatu )

(1).Ukishatuma  ADA  tuma kwa  meseji   E-MAIL  yako. Baada  ya  hapo  tutatumia  E--MAIL  yako  hiyo  kukuunganisha  na   Darasa. Utajifunza  mengi  usiyoyajua.

(2).Utapokea   MASOMO  kwa  njia  ya  E-MAIL ambapo  ni  njia  nzuri  zaidi  ya  kuyatunza  siku  zote  pasipo  kupotea  au  kuharibika.
 


Ndimi  Rafiki na  Kocha  Wako  Mwl    Japhet  Masatu , Dar  es  salaam ,Tanzania , Afrika   Mashariki , 

Kama  bado    hujajiunga  na  "  FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG " na  "DARASA  LA  SEMINA---FURSA  ZA  BIASHARA  AFRIKA  MASHARIKI " ( Google  Classroom )  tuwasiliane   Kwa  Maelekezo  Zaidi


WhatsApp /  Call / Message + 255 716 924136 / + 255 755 400128 / + 255 688361539


Mwl   Japhet   Masatu  ni   Mwalimu  Kitaaluma , Kocha  wa Maisha  na   Mafanikio ,  Mshauri ,  Mjasiriamali.

Mwl   Japhet   Masatu  anaendesha  Mafunzo  Ya  Maisha  na  Mafanikio  kwa   Wale  Waliojitoa  hasa  Kufanikiwa  Kupitia  Programu  ya  "  MAISHA  NA  WEWE "  na  "  FURSA   ZA   BIASHARA   AFRIKA   MASHARIKI "

ULIZA  MASWALI , TOA  MAONI , USHAURI , MAPENDEKEZO, MASULUHISHO  kwa  Email  hii:-  EMAIL fursaafrikamashariki@gmail.com

FURSA 21 ZA BIASHARA KATIKA SEKTA YA WANYAMA --------------" Fursa Afrika Mashariki Blog "

Umewahi  kuwaza  kuwa  WANYAMA wanaofugwa  nyumbani  wanaweza  kumkwamua  mtu  kutoka  kwenye  dimbwi  la  umaskini Je ,  ungependa  kujua  FURSA  zinazopatikana  kutokana  na  wanyama  tunaowafuga  kama  vile  mbwa? Ili  kufahamu   SEKTA  YA   " WANYAMA"  ina   FURSA   zipi mbalimbali   unazoweza  kufanya , tafadhali ,  endelea  kusoma na kufutana  nami katika  DARASA   LA  SEMINA--ONLINE.
( DARASA   LA  GOOGLE )


MUHIMU : Ili   kuendelea  Kusoma  na  Kujifunza  Zaidi na  Kugundua  FURSA  mbalimbali  zilizojificha  na  unazoweza  kufanya  katika  SEKTA  YA   NISHATI    NA  MADINI"

JIUNGE   na   "FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG "  kwa  pamoja  na    " DARASA  LA  SEMINA--FURSA  ZA   BIASHARA  AFRIKA  MASHARIKI " ( Google  Classrom )   kwa  kulipa  ADA  YA  UANACHAMA ( Tshs 10,000  kwa  Mwezi ) ili   uweze kusoma  MAKALA mbalimbali za  FURSA  na   Kuzigundua na  kujifunza " FURSA  ZINAZOKUZUNGUKA " na  Kuzifanyia  Kazi na  KUFANIKIWA  na   hatimaye  kupata  UTAJIRI.

Utaziona  MAKALA  lakini  hutaweza  kuzifungua  mpaka  uwe  umejiunga  na  kuwa  mwanachama . UTAJIFUNZA  MENGI  SANA kupitia  DARASA  LA  SEMINA.

Kujiunga  tuma   fedha  Tshs  10,000   kwa


  MPESA  NAMBA  0755400128   (  Majina  JAPHET  CHIBAJILO )
        TIGO   PESA   NAMBA   0716924136 ( Majina   Japhet   Masatu )
        AIRTEL  MONEY   0688 361 539  ( Majina  Japhet   Masatu )

(1).Ukishatuma  ADA  tuma kwa  meseji   E-MAIL  yako. Baada  ya  hapo  tutatumia  E--MAIL  yako  hiyo  kukuunganisha  na   Darasa. Utajifunza  mengi  usiyoyajua.

(2).Utapokea   MASOMO  kwa  njia  ya  E-MAIL ambapo  ni  njia  nzuri  zaidi  ya  kuyatunza  siku  zote  pasipo  kupotea  au  kuharibika.
 


Ndimi  Rafiki na  Kocha  Wako  Mwl    Japhet  Masatu , Dar  es  salaam ,Tanzania , Afrika   Mashariki , 

Kama  bado    hujajiunga  na  "  FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG " na  "DARASA  LA  SEMINA---FURSA  ZA  BIASHARA  AFRIKA  MASHARIKI " ( Google  Classroom )  tuwasiliane   Kwa  Maelekezo  Zaidi


WhatsApp /  Call / Message + 255 716 924136 / + 255 755 400128 / + 255 688361539


Mwl   Japhet   Masatu  ni   Mwalimu  Kitaaluma , Kocha  wa Maisha  na   Mafanikio ,  Mshauri ,  Mjasiriamali.

Mwl   Japhet   Masatu  anaendesha  Mafunzo  Ya  Maisha  na  Mafanikio  kwa   Wale  Waliojitoa  hasa  Kufanikiwa  Kupitia  Programu  ya  "  MAISHA  NA  WEWE "  na  "  FURSA   ZA   BIASHARA   AFRIKA   MASHARIKI "

ULIZA  MASWALI , TOA  MAONI , USHAURI , MAPENDEKEZO, MASULUHISHO  kwa  Email  hii:-  EMAIL fursaafrikamashariki@gmail.com

Friday, August 2, 2019

TABIA 06 ZITAKAZOKUFIKSHA KWENYE MAFANIKIO MAKUBWA SANA----------------- " Fursa Afrika Mashariki Blog "

FURSA 42 ZA BIASHARA KATIKA SEKTA YA SANAA NA UFUNDI------------ " Fursa Afrika Mashariki Blog "

Watu  wengi   sana  katika  dunia  hii  wanaujuzi   mbalimbali  wa  kutengeneza   vitu  kwa  kutumia   mikono  yao.Lakini  ujuzi  huu  watu  wengi  bado   haujawapa  ahaueni  ya  maisha. MAISHA  yameendelea   kuwa  magumu  pamoja  na  ukweli   kuwa  FURSA  YA  SANAA , UBUNIFU   na   UFUNDI karibia  kila  mtu  anaayo. Kuna  watu  wamejaaliwa   VIPAJI   vizuri  sana, lakini   watu   hawa  hupoteza  ujuzi  wao   kwa  kutokujua  cha  kufanya.UTAFANYAJE  ili  kuwa  wa   watofauti  na  watu  wengine  ambao   bado  wanasubiri   MIUJIZA  YA   MAFANIKIO ? Ili  kufahamu   SEKTA  YA   "SANAA  NA  UFUNDI"  ina   FURSA   zipi mbalimbali   unazoweza  kufanya  kupitia  ufundi , sanaa  au  ujuzi  ulionao na   jinsi  ya  kutengeneza  PESA tafadhali ,  endelea  kusoma na kufutana  nami katika  DARASA   LA  SEMINA--ONLINE.


MUHIMU : Ili   kuendelea  Kusoma  na  Kujifunza  Zaidi na  Kugundua  FURSA  mbalimbali  zilizojificha  na  unazoweza  kufanya  katika  SEKTA  YA   NISHATI    NA  MADINI"

JIUNGE   na   "FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG "  kwa  pamoja  na    " DARASA  LA  SEMINA--FURSA  ZA   BIASHARA  AFRIKA  MASHARIKI " ( Google  Classrom )   kwa  kulipa  ADA  YA  UANACHAMA ( Tshs 10,000  kwa  Mwezi ) ili   uweze kusoma  MAKALA mbalimbali za  FURSA  na   Kuzigundua na  kujifunza " FURSA  ZINAZOKUZUNGUKA " na  Kuzifanyia  Kazi na  KUFANIKIWA  na   hatimaye  kupata  UTAJIRI.

Utaziona  MAKALA  lakini  hutaweza  kuzifungua  mpaka  uwe  umejiunga  na  kuwa  mwanachama . UTAJIFUNZA  MENGI  SANA kupitia  DARASA  LA  SEMINA.

Kujiunga  tuma   fedha  Tshs  10,000   kwa


  MPESA  NAMBA  0755400128   (  Majina  JAPHET  CHIBAJILO )
        TIGO   PESA   NAMBA   0716924136 ( Majina   Japhet   Masatu )
        AIRTEL  MONEY   0688 361 539  ( Majina  Japhet   Masatu )

(1).Ukishatuma  ADA  tuma kwa  meseji   E-MAIL  yako. Baada  ya  hapo  tutatumia  E--MAIL  yako  hiyo  kukuunganisha  na   Darasa. Utajifunza  mengi  usiyoyajua.

(2).Utapokea   MASOMO  kwa  njia  ya  E-MAIL ambapo  ni  njia  nzuri  zaidi  ya  kuyatunza  siku  zote  pasipo  kupotea  au  kuharibika.
 


Ndimi  Rafiki na  Kocha  Wako  Mwl    Japhet  Masatu , Dar  es  salaam ,Tanzania , Afrika   Mashariki , 

Kama  bado    hujajiunga  na  "  FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG " na  "DARASA  LA  SEMINA---FURSA  ZA  BIASHARA  AFRIKA  MASHARIKI " ( Google  Classroom )  tuwasiliane   Kwa  Maelekezo  Zaidi


WhatsApp /  Call / Message + 255 716 924136 / + 255 755 400128 / + 255 688361539


Mwl   Japhet   Masatu  ni   Mwalimu  Kitaaluma , Kocha  wa Maisha  na   Mafanikio ,  Mshauri ,  Mjasiriamali.

Mwl   Japhet   Masatu  anaendesha  Mafunzo  Ya  Maisha  na  Mafanikio  kwa   Wale  Waliojitoa  hasa  Kufanikiwa  Kupitia  Programu  ya  "  MAISHA  NA  WEWE "  na  "  FURSA   ZA   BIASHARA   AFRIKA   MASHARIKI "

ULIZA  MASWALI , TOA  MAONI , USHAURI , MAPENDEKEZO, MASULUHISHO  kwa  Email  hii:-  EMAIL fursaafrikamashariki@gmail.com

Thursday, August 1, 2019

FURSA 40 ZA BIASHARA KATIKA SEKTA YA NISHATI NA MADINI -------------------- " Fursa Afrika Mashariki Blog "

 SEKTA  YA  MAFUTA  na   GESI ni  biashara  kubwa  sana   duniani. Kuna  matrilioni  ya   pesa  yamewekezwa  kwenye   sekta  hii. Nchi  nyingi  sana  hutegemea  mafuta  na  gesi  kama  uti  wa  mgongo   wa  uchumi  wao. Mfano   mzuri ni  nchi   kama :   SAUDI  ARABIA , NIGERIA ,KUWAIT ,  SUDANI na  nchi  zingine  nyingi. Kuna  MATAJIRI  mabilionea duniani  ambao wapo  kwenye  sekta  hii. Watu  kama   vile J.PAUL  GETTY ,  JOHN  D.  ROCKEFELLER , ROMAN ABRAMOVICH . Ili  kufahamu   SEKTA  YA   "NISHATI NA  MADINI "  ina   FURSA   zipi  na   jinsi  ya  kutengeneza  PESA tafadhali ,  endelea  kusoma na kufutana  nami katika  DARASA   LA  SEMINA--ONLINE.


MUHIMU : Ili   kuendelea  Kusoma  na  Kujifunza  Zaidi na  Kugundua  FURSA  mbalimbali  zilizojificha  na  unazoweza  kufanya  katika  SEKTA  YA   NISHATI    NA  MADINI"

JIUNGE   na   "FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG "  kwa  pamoja  na    " DARASA  LA  SEMINA--FURSA  ZA   BIASHARA  AFRIKA  MASHARIKI " ( Google  Classrom )   kwa  kulipa  ADA  YA  UANACHAMA ( Tshs 10,000  kwa  Mwezi ) ili   uweze kusoma  MAKALA mbalimbali za  FURSA  na   Kuzigundua na  kujifunza " FURSA  ZINAZOKUZUNGUKA " na  Kuzifanyia  Kazi na  KUFANIKIWA  na   hatimaye  kupata  UTAJIRI.

Utaziona  MAKALA  lakini  hutaweza  kuzifungua  mpaka  uwe  umejiunga  na  kuwa  mwanachama . UTAJIFUNZA  MENGI  SANA kupitia  DARASA  LA  SEMINA.

Kujiunga  tuma   fedha  Tshs  10,000   kwa


  MPESA  NAMBA  0755400128   (  Majina  JAPHET  CHIBAJILO )
        TIGO   PESA   NAMBA   0716924136 ( Majina   Japhet   Masatu )
        AIRTEL  MONEY   0688 361 539  ( Majina  Japhet   Masatu )

(1).Ukishatuma  ADA  tuma kwa  meseji   E-MAIL  yako. Baada  ya  hapo  tutatumia  E--MAIL  yako  hiyo  kukuunganisha  na   Darasa. Utajifunza  mengi  usiyoyajua.

(2).Utapokea   MASOMO  kwa  njia  ya  E-MAIL ambapo  ni  njia  nzuri  zaidi  ya  kuyatunza  siku  zote  pasipo  kupotea  au  kuharibika.
 


Ndimi  Rafiki na  Kocha  Wako  Mwl    Japhet  Masatu , Dar  es  salaam ,Tanzania , Afrika   Mashariki , 

Kama  bado    hujajiunga  na  "  FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG " na  "DARASA  LA  SEMINA---FURSA  ZA  BIASHARA  AFRIKA  MASHARIKI " ( Google  Classroom )  tuwasiliane   Kwa  Maelekezo  Zaidi


WhatsApp /  Call / Message + 255 716 924136 / + 255 755 400128 / + 255 688361539


Mwl   Japhet   Masatu  ni   Mwalimu  Kitaaluma , Kocha  wa Maisha  na   Mafanikio ,  Mshauri ,  Mjasiriamali.

Mwl   Japhet   Masatu  anaendesha  Mafunzo  Ya  Maisha  na  Mafanikio  kwa   Wale  Waliojitoa  hasa  Kufanikiwa  Kupitia  Programu  ya  "  MAISHA  NA  WEWE "  na  "  FURSA   ZA   BIASHARA   AFRIKA   MASHARIKI "

ULIZA  MASWALI , TOA  MAONI , USHAURI , MAPENDEKEZO, MASULUHISHO  kwa  Email  hii:-  EMAIL fursaafrikamashariki@gmail.com

SIRI 101 ZA KUENDESHA BIASHARA YENYE MAFANIKIO USIZOFUNDISHWA SHULENI. WASOMI WENGI SIYO WAZURI KWENYE BIASHARA ! KWANINI ??

Wednesday, July 31, 2019

MAMBO 06 YA KUFANYA KILA ASUBUHI ILI KUWA NA UMILIKI MKUBWA WA SIKU YAKO NA KUWEZA KUFANYA MAKUBWA--------------- " Fursa Afrika Mashariki Blog "

FURSA 12 ZA BIASHARA KATIKA SEKTA YA MISITU--------- " Fursa Afrika Mashariki Blog "

Kwenye  SEKTA  YA  MISITU napo  kuna  fursa  nyingi  ambazo  MJASIRIAMALI  anaweza  kuwekeza  na  kupata  PESA  za  kuboresha  mahitaji  yake.. Ili  kujua  SEKTA  YA  MISITU   ina   FURSA   zipi  na   jinsi  ya  kutengeneza  PESA tafadhali ,  endelea  kusoma na kufutana  nami katika  DARASA   LA  SEMINA--ONLINE.


MUHIMU : Ili   kuendelea  Kusoma  na  Kujifunza  Zaidi na  Kugundua  FURSA  mbalimbali  zilizojificha  na  unazoweza  kufanya  katika  SEKTA  YA  MISITU"

JIUNGE   na   "FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG "  kwa  pamoja  na    " DARASA  LA  SEMINA--FURSA  ZA   BIASHARA  AFRIKA  MASHARIKI " ( Google  Classrom )   kwa  kulipa  ADA  YA  UANACHAMA ( Tshs 10,000  kwa  Mwezi ) ili   uweze kusoma  MAKALA mbalimbali za  FURSA  na   Kuzigundua na  kujifunza " FURSA  ZINAZOKUZUNGUKA " na  Kuzifanyia  Kazi na  KUFANIKIWA  na   hatimaye  kupata  UTAJIRI.

Utaziona  MAKALA  lakini  hutaweza  kuzifungua  mpaka  uwe  umejiunga  na  kuwa  mwanachama . UTAJIFUNZA  MENGI  SANA kupitia  DARASA  LA  SEMINA.

Kujiunga  tuma   fedha  Tshs  10,000   kwa


  MPESA  NAMBA  0755400128   (  Majina  JAPHET  CHIBAJILO )
        TIGO   PESA   NAMBA   0716924136 ( Majina   Japhet   Masatu )
        AIRTEL  MONEY   0688 361 539  ( Majina  Japhet   Masatu )

(1).Ukishatuma  ADA  tuma kwa  meseji   E-MAIL  yako. Baada  ya  hapo  tutatumia  E--MAIL  yako  hiyo  kukuunganisha  na   Darasa. Utajifunza  mengi  usiyoyajua.

(2).Utapokea   MASOMO  kwa  njia  ya  E-MAIL ambapo  ni  njia  nzuri  zaidi  ya  kuyatunza  siku  zote  pasipo  kupotea  au  kuharibika.
 


Ndimi  Rafiki na  Kocha  Wako  Mwl    Japhet  Masatu , Dar  es  salaam ,Tanzania , Afrika   Mashariki , 

Kama  bado    hujajiunga  na  "  FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG " na  "DARASA  LA  SEMINA---FURSA  ZA  BIASHARA  AFRIKA  MASHARIKI " ( Google  Classroom )  tuwasiliane   Kwa  Maelekezo  Zaidi


WhatsApp /  Call / Message + 255 716 924136 / + 255 755 400128 / + 255 688361539


Mwl   Japhet   Masatu  ni   Mwalimu  Kitaaluma , Kocha  wa Maisha  na   Mafanikio ,  Mshauri ,  Mjasiriamali.

Mwl   Japhet   Masatu  anaendesha  Mafunzo  Ya  Maisha  na  Mafanikio  kwa   Wale  Waliojitoa  hasa  Kufanikiwa  Kupitia  Programu  ya  "  MAISHA  NA  WEWE "  na  "  FURSA   ZA   BIASHARA   AFRIKA   MASHARIKI "

ULIZA  MASWALI , TOA  MAONI , USHAURI , MAPENDEKEZO, MASULUHISHO  kwa  Email  hii:-  EMAIL fursaafrikamashariki@gmail.com

NJIA 21 NA HATUA ZA KUCHUKUA ILI UWEZE KUPIGA HATUA NA KUFANIKIWA ZAIDI KUPITIA KILE UNACHOFANYA SASA------------------ " Fursa Afrika Mashariki Blog "

GETTING EVERYTHING YOU CAN OUT OF ALL YOU" VE GOT---BY JAY ABARAHAM

jay abraham 1

Tuesday, July 30, 2019

FURSA 12 ZA BIASHARA KATIKA MISIMU ( VIPINDI ) MBALIMBALI---------------------- " Fursa Afrika Mashariki Blog "

Katika  Maisha  kuna   vitu  fulani  ambavyo  hufanyika  ndani  ya  kipindi  fulani  mara  moja  au  mara   mbili  kwa   mwaka, baada  ya  miaka   miwili , miaka minne , mitano  au  muongo  mmoja. Kwa  kuwa  vipindi  hivi  huwa  ni  vifupi sana , vinatupa  changamoto  sana   katika   maadalizi    na   huwa  ni  vya  kuhuzunisha  au  vya   kufurahisha  watu. Sisi  WAJASIRIAMALI  tunatumia  vipindi  hivi  KUTENGENEZA  PESA. Ili  kujua  MISIMU  ina   FURSA   zipi  na   jinsi  ya  kutengeneza  PESA tafadhali ,  endelea  kusoma na kufutana  nami katika  DARASA   LA  SEMINA--ONLINE.


MUHIMU : Ili   kuendelea  Kusoma  na  Kujifunza  Zaidi na  Kugundua  FURSA  mbalimbali  zilizojificha  na  unazoweza  kufanya  katika  MISIMU ( VIPINDI )  MBALIMBALI"

JIUNGE   na   "FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG "  kwa  pamoja  na    " DARASA  LA  SEMINA--FURSA  ZA   BIASHARA  AFRIKA  MASHARIKI " ( Google  Classrom )   kwa  kulipa  ADA  YA  UANACHAMA ( Tshs 10,000  kwa  Mwezi ) ili   uweze kusoma  MAKALA mbalimbali za  FURSA  na   Kuzigundua na  kujifunza " FURSA  ZINAZOKUZUNGUKA " na  Kuzifanyia  Kazi na  KUFANIKIWA  na   hatimaye  kupata  UTAJIRI.

Utaziona  MAKALA  lakini  hutaweza  kuzifungua  mpaka  uwe  umejiunga  na  kuwa  mwanachama . UTAJIFUNZA  MENGI  SANA kupitia  DARASA  LA  SEMINA.

Kujiunga  tuma   fedha  Tshs  10,000   kwa


  MPESA  NAMBA  0755400128   (  Majina  JAPHET  CHIBAJILO )
        TIGO   PESA   NAMBA   0716924136 ( Majina   Japhet   Masatu )
        AIRTEL  MONEY   0688 361 539  ( Majina  Japhet   Masatu )

(1).Ukishatuma  ADA  tuma kwa  meseji   E-MAIL  yako. Baada  ya  hapo  tutatumia  E--MAIL  yako  hiyo  kukuunganisha  na   Darasa. Utajifunza  mengi  usiyoyajua.

(2).Utapokea   MASOMO  kwa  njia  ya  E-MAIL ambapo  ni  njia  nzuri  zaidi  ya  kuyatunza  siku  zote  pasipo  kupotea  au  kuharibika.
 


Ndimi  Rafiki na  Kocha  Wako  Mwl    Japhet  Masatu , Dar  es  salaam ,Tanzania , Afrika   Mashariki , 

Kama  bado    hujajiunga  na  "  FURSA  AFRIKA  MASHARIKI  BLOG " na  "DARASA  LA  SEMINA---FURSA  ZA  BIASHARA  AFRIKA  MASHARIKI " ( Google  Classroom )  tuwasiliane   Kwa  Maelekezo  Zaidi


WhatsApp /  Call / Message + 255 716 924136 / + 255 755 400128 / + 255 688361539


Mwl   Japhet   Masatu  ni   Mwalimu  Kitaaluma , Kocha  wa Maisha  na   Mafanikio ,  Mshauri ,  Mjasiriamali.

Mwl   Japhet   Masatu  anaendesha  Mafunzo  Ya  Maisha  na  Mafanikio  kwa   Wale  Waliojitoa  hasa  Kufanikiwa  Kupitia  Programu  ya  "  MAISHA  NA  WEWE "  na  "  FURSA   ZA   BIASHARA   AFRIKA   MASHARIKI "

ULIZA  MASWALI , TOA  MAONI , USHAURI , MAPENDEKEZO, MASULUHISHO  kwa  Email  hii:-  EMAIL fursaafrikamashariki@gmail.com