Monday, September 2, 2019

KWA WANACHUO , UNAPOKUWA CHUONI , NI WAKATI WA KUTENGENEZA BIASHARA UNAYOPENDA KUFANYA------ " Fursa Afrika Mashariki Blog "

Vijana wengi kwa sasa wanayaanza maisha yao wakiwa na deni kubwa la elimu ya juu, huku wakiwa hawana uhakika wa kupata ajira. Kama vijana hawa wangeshauriwa vizuri, muda ambao wameutumia chuoni kusoma kitu ambacho hakina uhakika wa ajira, na kuweka muda huo kwenye kutengeneza biashara inayotokana na kitu wanachopenda kufanya, wakati ambao wenzao wanamaliza chuo wakiwa na madeni, wao wanakuwa wameshafika mbali sana kibiashara na hawana deni kabisa.

No comments:

Post a Comment