Friday, June 12, 2020

FURSA 33 ZA BIASHARA KATIKA SEKTA YA KILIMO----FURSA AFRIKA MASHARIKI BLOG

1 comment:

  1. Je, una malengo ya kufanya BIASHARA kwenye SEKTA YA KILIMO ? Tazama FURSA zilizopo kwenye sekta hii unazoweza kufanya bila MTAJI au kwa MTAJI mdogo au kwa MTAJI mkubwa.SEKTA YA KILIMO NA CHAKULA , ni moja ya biashara muhimu sana kwa wandamu kote duniani na mahitaji yake yanaongezeka kila kukicha. Hakuna siku biashara hii itakuja kudorora na kuishiwa FURSA , hii ni kwa sababu ya ongezeko kubwa la watu duniani hali inayopelekea mahitaji ya chakula kuwa makubwa kuliko jana na juzi. Hii ni sehemu bora ya KUTENGENEZA FEDHA NYINGI NA KUTAJIRIKA. UWEKEZAJI , KWENYE KILIMO hujumuisha Kilimo cha mazao mbalimbali , uzalishaji na uuzaji wa mazao yatokanayo na KILIMO. JIUNGE NA DARASA ONLINE / GOOGLE CLASSROOM uweze kujifunza FURSA MBALIMBALI unazoweza kufanya katika SEKTA YA KILIMO na FURSA ZINGINE KATIKA SEKTA MBALIMBALI. WASILIANA NAMI KOCHA MWL. JAPHET MASATU --- Call / MESEJI / WhatsApp + 255 716 924136

    ReplyDelete